Natafuta Mwanamke Mzuri

Key word "mume" sio mchumba wala rafiki, yaani tukikubaliana tu ni ndoa bila kupoteza muda. Ikibidi isizidi hata mwezi.
Sina vigezo vingi jamani maana nitaambiwa nachagua sana.

Ni wakati wa "wewe lete yeyote tu ilimradi ni mwanaume". Haya changamkieni jamani hata mafurushi mnakaribishwa ilimradi uwe na uume.

Comments ziwe fupi fupi ili kuokoa muda wa usomaji. Mnakaribishwa pm tuyajenge sio kubomoa.
Idumu jf daima na daima.
 
Mtoa mada, nice writing skills.

Constructive criticism: would you mind checking the use of words like "who" and "whom"???

All the best man!

Please if you can highlight the specific points that needs editing, you will be of a big help.

Thank you.
 
Ndiyoooooooooo

Hivi Zanzibar kuzuri eee???

Halafu Bro, nitakutafuta kuhusu issue ya huko Zanzibar, nina kazi fulani inaweza kunileta huko Mid October, nitakucheki kuhusu advise ya makazi (ni 2 months stay), hasa ni kuhusu kama naweza kupata Full Furnished House kwa favorable rates.
 
Dah...mke na mtoto wanaendeleaje mkuu?...maana juzi tu ulikuwa unalialia unafuta buku 10 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

 
Mkuu ningekupa ushauri mzuri tu kuhusiana na mada yako tatizo lugha ndio inanipiga chenga. Sijaelewa chochote zaidi la neno la mwishoThank you.
 
Kingereza kama hili c ungeongea katika mambo ya msingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…