Hahahaaaa jf kichaka kineneDaaah tyr umeshayapatia maisha haraka kiasi hiko? Si ww juzi tuu ulikuwa unaomba 10k ya msosi?
View attachment 1197272
Cc Unforgetable
Kichwa kichafuuuuuJuu Ya Kichwa Cha Uzi
Hivi kumbe ulitaka kwenda Zanzibar?? Ni hivyo vigezo tu??Yaani sina sifa hata moja, hivi sie watu wengine tunafanya nini hapa duniani?
Dah...mke na mtoto wanaendeleaje mkuu?...maana juzi tu ulikuwa unalialia unafuta buku 10 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eeh nilitaka, vigezo vimenikwamishaHivi kumbe ulitaka kwenda Zanzibar?? Ni hivyo vigezo tu??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani sina sifa hata moja, hivi sie watu wengine tunafanya nini hapa duniani?
Hili nalo neno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunamtumikia Mungu
Kwakweli.Kingereza kama hili c ungeongea katika mambo ya msingi
Tena hii Ni kazi kubwa kuliko zote hizo.Hili nalo neno[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Mbona kama humuamini mwenzioUnataka kusema wewe ni mzuri?
HaswaaTena hii Ni kazi kubwa kuliko zote hizo.
[emoji1787][emoji23][emoji23]Wenye sura za wajomba tushakosa vacation [emoji30][emoji30]
Haya mambo bila picha unaweza kujikuta unakumbana na mzalendo na sweta lake.[emoji23][emoji23][emoji23]Mbona kama humuamini mwenzio
Na kakomaa kisawa sawa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya mambo bila picha unaweza kujikuta unakumbana na mzalendo na sweta lake.
Na kakomaa kisawa sawa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahNdiyo maana nataka aweke picha tumuone isije kuwa yale ya Mwanza to Dar.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1197744