Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
Natafuta mwanamke na sio watejaKwahiyo unatafuta mwanamke au wateja wa kampuni yako
Fursa isikupite hii mkuu, kale bataVipi hizo bata zipo kweli? Ama jina tu π
Sura siyo roho ndugu[emoji1787][emoji1787]Vipi hizo bata zipo kweli? Ama jina tu [emoji14]
Kasema hilo ni jina tu hana hata mia mbovuππ jokeFursa isikupite hii mkuu, kale bata
Ndiyo nataka kuconfirm kabla π inaweza kuwa roho ujueSura siyo roho ndugu[emoji1787][emoji1787]
Bata batani ni kampuni yanguVipi hizo bata zipo kweli? Ama jina tu [emoji14]
Nakuombea sana upate hitaji la moyo wakoNahitaji mdada aliye serious tuanzishe mahusiano
Umri kuanzia 28-39 nipo dar shughuli zangu nimejiajiri Kama event planner hivyo natafuta aliye serious tuanze maisha ya pamoja
HahahahahahahaNdiyo nataka kuconfirm kabla [emoji3] inaweza kuwa roho ujue