Natafuta mwanamke wa kitusi

Camelot

New Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
3
Reaction score
0
Kichwa cha habari kinajieleeza mimi ni kijana wa miaka 32 naishi dsm natafuta msichana wa kitusi aliepo dsm umri kuanzia miaka 20 mpaka 35 aliye tayari aje pm
 
Mwanamke wa kitus ndio wa mkoa gani, unamtafuta kwa dhumuni gani
 
Jamani acheni mzaha, wanawake wa kitusi ni balaa hasa ukimpata yule mwenye umbo kama la nyigu,lazima udate tu!!!
 
Huko kwenu kuna shida ya maji eee,naona sasa wataka kuhamishia maji chumbani,kila la kheri mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…