Natafuta mwanamke wa kuanzisha mahusiano na mwisho wake iwe ndoa

Natafuta mwanamke wa kuanzisha mahusiano na mwisho wake iwe ndoa

Shabdullah

Member
Joined
Feb 17, 2020
Posts
65
Reaction score
52
Natafuta mwanamke ambae ambae tutafikia hadi kuoana na kuishi kwa amani

Sifa
Awe na umri kuanzia 23 hadi 29
Awe muislam
Awe na hof na mungu

NB:
Rangi na kimo sivipi kipaombele. Sio lazima awe anafanya kazi lakini akiwa mchapakazi itanipendeza zaidi

Mimi ni

Mrefu
Mweupe.
Nafanya kazi ( ukija inbox utajua kaz yangu)
Nina miaka 25
Ninamwili wa kati na kati, japo kuwa saivi najikuta nanenepa.
Ni muislam.
Elimu yangu ni diploma.
Naishi dar es salaam

Nicheck inbox
 
Awe mrefu au mfupi! kwani kuna sifa zingine zaidi ya hizo 2 kwenye kimo cha mtu?
 
Natafuta mwanamke ambae ambae tutafikia hadi kuoana na kuishi kwa amani

Sifa
Awe na umri kuanzia 23 hadi 29
Awe mrefu au mfupi,
Awe muislam
Awe na hof na mungu

NB:
Rangi na kimo sivipi kipaombele.

Mimi ni
Mrefu
Nina miaka 25
Ninamwili wa kati na kati, japo kuwa saivi najikuta nanenepa.
Ni muislam

Nicheck inbox
Kuna huyu Celvina Damas naona atakufaa muulize Nsaji Raphael Mwanjali wa TRA
 
Back
Top Bottom