Natafuta mwanamke wa kufunga naye pingu za maisha nimechoka kuishi mwenyewe

Natafuta mwanamke wa kufunga naye pingu za maisha nimechoka kuishi mwenyewe

Mashine1908

New Member
Joined
Jan 28, 2018
Posts
3
Reaction score
3
Natafuta mwanamke wa kufunga naye pingu za maisha kwa ndoa halali kutoka kanisani, mimi ni mwanaume niliekamili.

Mke nimtakaye awe ana mapenzi ya kweli, elimu kuanzia la saba na kuendelea awe na 18-30 miaka. Elimu yangu ni chuo kikuu, nimeajiriwa.

Kwa alie serious naomba ani pm
IMG-20180212-WA0000.jpg
 
Kama suala nikuchoka kuishi mwenyewe si utafute hata ndugu uish naye?
 
Natafuta mwanamke wakufunga naye pingu za maisha kwa Ndoa halali kutoka kanisani.Mimi in mwanaume nilie kamili ,Mke nimtakaye awe ana mapenzi ya kweli elimu kuanzia la saba na kuendelea awe na 18-30 miaka.Elimu yangu ni chuo kikuu,nimeajiriwa.Kwa alie serious naomba ani pmView attachment 702288
Kijana wangu bora utangaze kazi za ndani kwa mabinti utapata anaestshili
 
Hongera sana kijana kwa maamuzi mazuri unayoyafanya.

Mungu akutangulie kwa jambo hilo.

Nimependa na ka ujumbe ulikoshindikizia mada yako.
 
Back
Top Bottom