Jitafutie mmoja akupunguzie upweke. ...ila kuwa mwangalifuShukrani mkuu... Upweke umenizidi.
Unaweza ukawa nae na upweke ukazidi mara mia naneJitafutie mmoja akupunguzie upweke. ...ila kuwa mwangalifu
Yeah , kweli ndiyo maana nimemu alert hapo juu. Kama umekidhi vigezo toa msaada. .....Unaweza ukawa nae na upweke ukazidi mara mia nane
Akuuuu.... Nilie nae ananitoshaYeah , kweli ndiyo maana nimemu alert hapo juu. Kama umekidhi vigezo toa msaada. .....
OouhAkuuuu.... Nilie nae ananitosha
nitafute in boxMimi ni mwanaume Nina miaka 28 nahitaji binti wa miaka 20-25
aliyeko tayari kuanza mahusiano awe na hofu ya mungu, self respect, simple (no too much makeups) ametulia ,msafi,mcheshi, mrefu wa wastani (150-170) cm mimi ni 185cm ,awe rangi ya chocolate/ orange, good looking,elimu siyo kigezo ila awe na akili ya maisha.
Nina hakika hatojutia kuwa na mimi. I'm simple, sina makuu, tall, sina mameno mengi, nina degree moja, naishi Arusha ila kwa sasa nipo Dar es salaam kwa muda.
Karibu