Natafuta mwanamke wa kuoa na anajua nini maana ya ndoa

mmh!.. kwa sifa hzo zote zikamilike labda umzae mwenyewe .
Hatimaye nimewah siti kwa mara ya kwnza leo tangu nzaliwe. SIAMINI..!!!
 
Siku hizi kunakuchezeana ndoa hakuna umepitwa na wakati wewe! Shauri zako...
 
Kwaivo we unataka mwenye izo sifa as if umemzaa ukamlea mwenyewe koh koh
 
Domo zege? ????
Umesema ww msomi mwajiriwa tayari, , huko chuoni hukuwaona, Hata kazini napo bila bila??
 
binti mwenye sifa hizo je kwenu hakuna magonjwa sugu kama kifafa pumu (athuma) vichaa nk
 
Anayejua maana ya ndoa??? Ndoa unaolewa huijui na cheti unapewa kisha unajua maana yake huko.
Sasa hutaki akiyewahi kuolewa halafu unataka awe anaijua ndoa kaijulia wapi sasa?
 
Kumbe wasomi wanaenda wanachanganyikiwa na vitabu vyao hata alivyo lipumba anaweza mtaka mke akaweka sifa awe mkweli ,asiwe msariti nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…