Rafiki bana..... hahahahahahaaaaaa..anaringia mashine na ucha Mungu...mfikirieni mjomba....Huna pesa shemeji unaringia mashine....
Kila la heri
Kaka angu upoRafiki bana..... hahahahahahaaaaaa..anaringia mashine na ucha Mungu...mfikirieni mjomba....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo dada akee.. naona hukwepeshi maana... I like that from you... Hope uko swadakta....Kaka angu upo
Kanisa siyo jengo ndugu ,kwa hyo huwezi kusema kuwa nimekosa kanisani,huna haja ya kuwa na mashaka na uchaji wangu jambo la msingi kabla hujanyoosha kidole kwa mwenzako ujithathimini Wewe mwenyewe.Nawasiwasi na ucha Mungu wako? Kanisani umekosa kabixa 'na kama ni mcha Mungu neno linasemaje kuhusu mke. Ww umejivika ucha Mungu tu, hebu usiwadhihaki wacha Mungu bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
Age >= 20Unatafuta mwenye miaka 20+ inamaana hata mwenye 100??
Huna pesa shemeji unaringia mashine....
Kila la heri[/QUOTE
Lazima niringie hyo,ukiwa na pesa unaweza kununua mpya?
Akasagie mahindi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Huna pesa shemeji unaringia mashine....
Kila la heri
ni in box plzMimi ni mwanamume mcha Mungu(mkristo), natafuta mwanamke wa kuoa , umri wangu ni miaka 30+, natafuta mtu ambae ana miaka ishirini na kuendelea, kwa mwanamke ambae upo serious ani pm, ila pia mimi si mtu kwenye pesa nyingi kwahiyo kama unamawazo kama hayo usije.