Natafuta mwanamke wa kuoa

Kwa hili niseme tu ulikuwa ulikuwa unahitaji ushauri kwanza kutokana na yaliyokusibu ili urudi nyuma tena mana wanawake ni walewale hata ubadilishe mwingine bado wana mapungufu mengi
Mkuu nimepitia mengi nimeumizwa sana kufkia mpk naandka hapa no vigezo vingi cha msingi awe anajitambua na mwenye maono ya maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…