Wakija zaidi ya mahitaji yako utanigawia mm mkuu,nami nahitaji.Habari,
Mimi ni mwanaume wa miaka 25, elimu nina shahada ya biashara, kazi mwajiriwa, nina nyumba nimejenga, kazi ya uhakika, nitamtunza, kumjali na kumpa mahitaji ya msingi kama mke, ninatafuta mke wa kuoa umri 38-45, sina ubaguzi wowote, awe anajitambua.
Kwa atayekua tayari anitafute kwa email njooupateupendowakweli@gmail.com
Asante, nawasilisha