Nakutakia kila La kheri,umpate aliye sahihi,hakuna utofauti wa humu na mtaaniUmri: awe kuanzia miaka 22 nakuendelea, asiwe na mtoto, asiwe mnene sana, rangi yoyote.
Dini: awe muislamu
Elimu: kuanzia kidato cha nne na kuendelea, Sio lazima awe anafanya kazi, Na akiwa ni mwajiriwa awe anafanya kazi mikoa ya Tanga,Kilimanjaro au Arusha
Mimi nina miaka 30,Elimu-chuo kikuu, na Ni Mwajiriwa serikalini.
Mwanamke aliyetayari aje PM.
Vip bi dada fursa hyoKila la kheri tangazo la kwanza lisilo na makuu
Aku sitaki kuolewa sa hivi mieVip bi dada fursa hyo
Unaonekana una uzoefu na matangazo ya aina hiiKila la kheri tangazo la kwanza lisilo na makuu
Sanaaaa wengine utasikia nataka mwenye master sijui nini ....bila kujua ndoa sio ofisi kwamba kuna ulazima wa elimu kubwa ili uweze kuihandleUnaonekana una uzoefu na matangazo ya aina hii
Sanaaaa wengine utasikia nataka mwenye master sijui nini ....bila kujua ndoa sio ofisi kwamba kuna ulazima wa elimu kubwa ili uweze kuihandle
Busara ..hekima ..uvumilivu..upendo ......mengine ya ziadaKwani kitu cha msingi kwenye ndoa ni nini kwa mtazamo wako?
Busara ..hekima ..uvumilivu..upendo ......mengine ya ziada
True, labda Kama anaigizaHuku mtandaoni kuna kamchezo mkuu mwanamke usiyemjua ni hatari sana kuishi nae, jitahidi kupita mitaani au kazini au msikitini/kanisani utawapata wengi ambao unajua wapi chimbuko Lake na wapi unaweza kuanzia kumchunguza kwa wazazi, marafiki, ndugu na jamaa, ila kwa hapa mtandaoni jiandae kukutana na wabovu wanaotanguliza papuchi mbele. If you are serious try to think smart, this is a wrong place kutafuta mke, hii kitu nilishajaribu but it didn't work
Nani aliye chafua kichwa chako mkuu,Kila La Kheri Mkuu