Natafuta mwanamke wa kuoa

 
Kawoli naomba umuombe msamaha mtoa Mada .
Na unijibu maswali yafuatayo
Je .Wewe upo jukwaa hili kufanyaje?
Je.Walioweka forum hii walikosea?.
Je watu wa mtaani si Ndo hawa?.
Na je si kwamba hapa wamekusanyika kwa pamoja so ni rahisi?.
Na why unaumia wenzako wakijaribu kuwatafuta wenza wao hapa? Je wewe unapata hasara au tabu gani?
Na why umwite mwenzio mwehu wakati umemfuata mwenyewe kwenye Page?
Nikuambie tu.Ulimwengu wa sasa ni wa Technology so hata mahusiano yapo kitechnology.
Na hapa si pa kwanza toa tongotongo kwa website zingine kama Afro introduction.
Mana sio wewe peke yako msioelewa.
Ajabu unashinda page hii hii unaacha zingine ili tu uwakatishe tamaa watu walio serious.
Why bother. leave them alone .
Yaani apo umeonyesha kwajinsi gani ulivyomwehu. Umeshindwa kuona mke anaekufaa huko unakoishi, kusoma, kazini, unakoabudu unakuja kutafuta huku kwa wasiojulikana? Amazing

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hapa unatafuta nini.Na walioanzisha site hii hawajasoma? Mana walioanzisha na wanaitafuta lao moja..
Jamani hii Dunia ni ya Utandawazi.Chukulia ilikuwa na mti chuoni wakashindwana na sasa kazi yake hakutani na watu.Na hapa amekuta fursa hiyo..
Asiitumie?
Graduate mzima unatafuta mke mtandaoni .Mkuu upo sawasawa kweli upstairs?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio Kweli ndugu yangu hata wake au waume toka mitaani kesi za Talaka zipo nyingi Mahakamani kama Ndo maana yako.
Mapenzi hayana formula ni kama urafiki Ndo mana zamani ili umsalimie ndugu yako ulikuwa unasafiri ( lazima) Now days no need of..You can just call or text.
So wake up my sweet Darling
Kafie mbele blue Shwain. Tumechoka kutoa ushauri humu mkikutana na vitu vya ajabu na mihemko ya kukurupukia wake wa mitandaoni.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie mtakuwa na yenu.Kwani huyu ni wa kwanza kutafuta mpenzi humu.Mbona na nyie mpo hapa mnatafuta nini si muende majukwaa mengine? Au ni washauri wa hii wa hii page mnalipwa?
Ni nadhani yupo jukwaa sahihi kama linavyotaka.
Kama MTU unaona mambo ya jukwaa hili yanakukera basi unaMove .
Why uanze kugombana na watu na hujaitwa.
Tuwe na busara.
Aksante.
Acha hasira za ajabu wewe domo zege.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh hii mada nilikuwa nimeisahau kitambo sana. Umekuja kufukua makaburi?

Fanya mambo yanayokuhusu, hili hata siyo jambo la kukuhusu.
 
Mwe nilikuwa na hasira ila Happ mwisho pa kuniita your sweet darling ndo pamenilegeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…