kassongo iddi
Member
- Oct 17, 2016
- 19
- 24
Mkuu unachekesha, yaani ni sawa na kwenda Instagram au Telegram kutafuta mwanamke wa kuoa. Hapa utapata mademu dizaini ya mademu wa bongo movie tu almaarufu majinamizi ya talaka.Mimi nipo Dar kimaisha na makazi pia na ni mtu mzima ninaye jiheshimu natafuta mwanamke wa kuanzisha mahusiano naye Hadi ndoa muhimu awe mkweli na mwenye mapenzi ya kweli na umri usiozidi miaka 55. Mimi umri wangu miaka 57 na aliye tayari tuwasiliane kwa namba 0754292989
Yaani unatafuta humu JF? Pole sana.Mimi nipo Dar kimaisha na makazi pia na ni mtu mzima ninaye jiheshimu natafuta mwanamke wa kuanzisha mahusiano naye Hadi ndoa muhimu awe mkweli na mwenye mapenzi ya kweli na umri usiozidi miaka 55. Mimi umri wangu miaka 57 na aliye tayari tuwasiliane kwa namba 0754292989
Brother ni ushauri tu lakiniMimi nipo Dar kimaisha na makazi pia na ni mtu mzima ninaye jiheshimu natafuta mwanamke wa kuanzisha mahusiano naye Hadi ndoa muhimu awe mkweli na mwenye mapenzi ya kweli na umri usiozidi miaka 55. Mimi umri wangu miaka 57 na aliye tayari tuwasiliane kwa namba 0754292989
ππππππHakyanane!Tufumbe macho tuombe.π
Hivi,hapo anapewa pole ya:-
Kweli KABISA.lakini na yeye awe seriousBrother ni ushauri tu lakini
Unaweza kupata mke mwema kabisa na nakuombea ila makinika sana sana maana wengi wao siku hizi ni wafanyabiashara atakuja kwenye ndoa kwa ajili ya kuchuma na si kwa ajili ya mapenzi
humu zimejaa takataka za instagram, bongo movie, bongo flava na telegram. hakuna mwanamke wa kuoa humu.Mimi nipo Dar kimaisha na makazi pia na ni mtu mzima ninaye jiheshimu natafuta mwanamke wa kuanzisha mahusiano naye Hadi ndoa muhimu awe mkweli na mwenye mapenzi ya kweli na umri usiozidi miaka 55. Mimi umri wangu miaka 57 na aliye tayari tuwasiliane kwa namba 0754292989
Mdogowakoπ
πππJamaniMkuu unachekesha, yaani ni sawa na kwenda Instagram au Telegram kutafuta mwanamke wa kuoa. Hapa utapata mademu dizaini ya mademu wa bongo movie tu almaarufu majinamizi ya talaka.
Vipi, mbona unashangaa?πππJamani