Natafuta mwanamke wa kuoa

Natafuta mwanamke wa kuoa

iamriq_arthur

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2021
Posts
440
Reaction score
1,086
Natafuta mwanamke wa kuoa, akiwa mwajiliwa serikalini au amejiajiri itapendeza zaidi

Mimi mme
Umri: 27
Makazi: Mwanza
Kabira: Mnyamwezi

aliyekidhi vigezo njoo PM
 
Natafuta mwanamke wa kuoa, akiwa mwajiliwa serikalini au amejiajiri itapendeza zaidi

Mimi mme
Umri:27
Makazi:Mwanza
Kabira:Mnyamwezi
IMG_20241206_063823.jpg

Pita Salamander Corner hapo Samora Avenue, hutojuta
 
Natafuta Mshangazi, akiwa mwajiliwa serikalini au amejiajiri itapendeza zaidi

Mimi mme
Umri: 27
Makazi: Gongo la MBOTO
Kabira: Mnyamwezi

Aliyekidhi vigezo njoo PM
 
Tena upate lilikojikirimu hadi mashavu yameungua yani....
Alafu wewe ndo mana walitaka kukupiga siku ile ..
Yaani kuchokoza watu tuu upo vizri ila wakianza kukuanzishia unakimbilia polisi jamii..😀😀😀😀😀

Mi shangazi wa namna hiyo hapana siwezani nae..
Mi nakula wale qualiy sema huu mwezi nimekutana na bahati mbaya sana an daah so sad
 
Alafu wewe ndo mana walitaka kukupiga siku ile ..
Yaani kuchokoza watu tuu upo vizri ila wakianza kukuanzishia unakimbilia polisi jamii..😀😀😀😀😀

Mi shangazi wa namna hiyo hapana siwezani nae..
Mi nakula wale qualiy sema huu mwezi nimekutana na bahati mbaya sana an daah so sad
Mwezi huu haujalelewa kabisa 🤣🤣🤣🤣
 
Mwezi huu haujalelewa kabisa 🤣🤣🤣🤣
Unakuta et mshangzi hela hauna an jau jau aiseee ..
Mara naota ndoto za ajabu...

Alafu wewe nakutafuta sana nina mpango nikodi vibaba kama sita hvi vya huku Gongo la MBOTO wakudake wakuchape weeeeh akili ikae sawa
 
Miaka 27 unataka kuoa, umechoka kuenjoy maisha
Kuoa ni haki ya kila mwanaume ebu kua mpole songeza kwanza umri ata35 iv unaweza handle mwanamke na stress pia
 
Back
Top Bottom