iamriq_arthur
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 440
- 1,086
Unatafuta mume bibie?Mme umejiajiri? Umeajiriwa? Au mtakula pesa ya mke?
Natafuta mwanamke wa kuoa, akiwa mwajiliwa serikalini au amejiajiri itapendeza zaidi
Mimi mme
Umri:27
Makazi:Mwanza
Kabira:Mnyamwezi
Nimeshangaaa sana π€£π€£π€£Mme umejiajiri? Umeajiriwa? Au mtakula pesa ya mke?
Ndio kama yupo mme hana mtu anazurura zurura tu humu nijitwalieUnatafuta mume bibie?
Raha ya mshangazi uwe na ukimwiNatafuta Mshangazi, akiwa mwajiliwa serikalini au amejiajiri itapendeza zaidi
Mimi mme
Umri: 27
Makazi: Gongo la MBOTO
Kabira: Mnyamwezi
Aliyekidhi vigezo njoo PM
Wewe acha mambo yako..Raha ya mashangazi uwe na ukimwi
Domo zege itakuwaBro mbona Mwanza jiji kubwa na kuna warembo sio kitoto. Unafeli wapi?
Tena upate lilikojikirimu hadi mashavu yameungua yani....Wewe acha mambo yako..
Mdomo unaumba ujue ππππ
Alafu wewe ndo mana walitaka kukupiga siku ile ..Tena upate lilikojikirimu hadi mashavu yameungua yani....
Mwezi huu haujalelewa kabisa π€£π€£π€£π€£Alafu wewe ndo mana walitaka kukupiga siku ile ..
Yaani kuchokoza watu tuu upo vizri ila wakianza kukuanzishia unakimbilia polisi jamii..πππππ
Mi shangazi wa namna hiyo hapana siwezani nae..
Mi nakula wale qualiy sema huu mwezi nimekutana na bahati mbaya sana an daah so sad
Unakuta et mshangzi hela hauna an jau jau aiseee ..Mwezi huu haujalelewa kabisa π€£π€£π€£π€£
sio kweli bro, sometimes watu wako na majukumu ambayo hayawakutanishi na potential wife material, au anapata ila sio aina anazotakaDomo zege itakuwa
Probablysio kweli bro, sometimes watu wako na majukumu ambayo hayawakutanishi na potential wife material, au anapata ila sio aina anazotaka