Natafuta mwanamke wa kuoa

Magoa

Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
28
Reaction score
5
Naitwa Sultani Saidi naishi Dar umri wangu ni miaka 28 natafuta mchumba na hatimae aje kuwa mke wangu wa ndoa
Mimi ni mrefu wastani , mweusi ,si mnene ,pia nina mtoto mmjoa
Sifa za mke ambae namuhitaji
1. Awe muislam
2. Umri kati ya miaka 20 - 28
3. Awe na hofu ya mungu
4. Awe mweupe au maji ya kunde
5. Mnene wastani
6.Ni vizuri nae akawa na mtoto pia hata kama hana sawa
Kwa alietayari tuwasiliane kwa e-mail hii (saidisultani@gmail.com) namba ya simu tutapeana baadae ukijiona unataka kucheza tafadhali usinisumbue kwani mimi siko kwa masihara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…