Nashukuru MadameX kwa ushirikiano wako,
Kwa kifupi nina elimu ya chuo toka CBE-dodoma(ADA),Ni mrefu wa wastan,
sipendi makuu,napenda ukweli na nachukulia changamoto za maisha kama potential opportunities toward success.,
Na wee ulitoa ngapi mzee hata ukapata gamba la CBE, maana pale mkwanja tu kwa kwenda mbele.
ungetoa contact anayetaka akutafute au ndio mpaka Piiemu?
Divorced anakubalika?
Bado tu hujabatika?Mi nna sifa zote ulizotaja isipokua umri!!Huwezi kubadilisha mawazo hapo?
Bado tu hujabatika?Mi nna sifa zote ulizotaja isipokua umri!!Huwezi kubadilisha mawazo hapo?
Bado tu hujabatika?Mi nna sifa zote ulizotaja isipokua umri!!Huwezi kubadilisha mawazo hapo?
bado sijabahatika,
Na kama huna bahati utabahatikajeeee!
Na kama huna bahati utabahatikajeeee!
Na wewe kaka una sifa gani, let say if I am interested???
imezidi au imepungua kama mingapi hv?
Oh imezidi 6!Ni mingi sana!?
Duh,
huko hujatoa mkwanja
usijal utakuwa tu mpambe wa bwana harusi,maanake naona uporace cna japo chinichini,
Duh,
hizi sasa ni "zereu",kama kwa mkwanja nenda nawe kachukue mtu wangu,
huko hujatoa mkwanja
Kichapo tu kwa kwenda mbele!
Mkuu usishituke hiyo ndiyo hali halisi ya chuo ulichosoma!Kujitambulisha kwa jina la chuo hicho ulichosoma ni lazima uwe mjasili.Maana elimu ya pale imechakachuliwa!pole sana mkuu!!