Coza Mhando
Senior Member
- Dec 14, 2010
- 194
- 7
- Thread starter
-
- #61
Eheeee, yashakuwa hayo mkuu-basi nami ntakupiga kwa Jambia la mbeleni ati? si wajua zile kanzu zauzwa special na jambia lake kwa ajili ya harusi!
Mtu wangu kuna viwanja vya kucheki vifaa vya kuwa wenza, jichanganye kwenye social and public affairs, humu JF kweli unaweza pata lakini siku unamwona physical unaweza kuja kujuta. Tafuta wife kwa kumuona, sio hii offline!!!.
Mkuu usishituke hiyo ndiyo hali halisi ya chuo ulichosoma!Kujitambulisha kwa jina la chuo hicho ulichosoma ni lazima uwe mjasili.Maana elimu ya pale imechakachuliwa!pole sana mkuu!!
mwana JF,mbona mkali hivyo,hujanijibu kama umekubal upigwe kanzu ya OMAN,kama wataka na jambia utalikuta tu lakusubiria wewe!,au...
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha! CBE bana!
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha! CBE bana!
Bado tu hujabatika?Mi nna sifa zote ulizotaja isipokua umri!!Huwezi kubadilisha mawazo hapo?
Nasubiria ubadilishe mawazo kuhusu umri!niaje lizzy,
so quite,
Ha! Ha! Ha! Pole bana kwa yalyomkuta bro kule TBC, tulimwambia ss ucrudi bongo, alkaidi, haya na afaidi bac hyo cku ya idd! Aisee, lkuwa nikupe gf wangu wa zamani lkn kwa kuwa kibarua kimeota mchicha-skugaii tena,utamlisha nnchamajani niaje,
kimya cna mtu wangu,
Ninasifa zote ila umri, so I am out of here!
Ha! Ha! Ha! Pole bana kwa yalyomkuta bro kule TBC, tulimwambia ss ucrudi bongo, alkaidi, haya na afaidi bac hyo cku ya idd! Aisee, lkuwa nikupe gf wangu wa zamani lkn kwa kuwa kibarua kimeota mchicha-skugaii tena,utamlisha nn
Imezidi ndugu, si wengine tumekula chumvi nyingi
unataka kuniambia bi kidude mlicheza wote soro, in those dayz?
Very true, my patner in crimes
Mwananyamala wamejaa kibaoo. Huku kila mmdemu ana wake tayari.Loh
msaidie mwenzio
Habari zenu bana za wkend wana JF,naona mpo so high ktk viwanja tofauti,.
Progress ktk mtanange wangu wa kumtafuta mrembo wangu wa ubani zinaridhisha,dah ila kikwazo age bana,sample imejaa used,divorced and desparate!,anyway nao wahitaji faraja na nusra.
Age co ishu tena,
Details zangu hizi hapa:-
~KABILA-mzigua
~KAZI-biashara
~MAKAZI-morogoro
~UMRI-32
~NINACHOPENDA-ukweli,uaminifu,uwazi
~RANGI-maji ya kunde
~NISICHOPENDA-unafki
Mchumba ninayemhusudu awe na sifa hizi hapa
~BIKRA-iwepo au isiwepo co ishu,
~RANGI-yoyote
~KABIRA-lolote ila msukuma,mbondei,mmasai,watapewa priority kwanza
~UMRI- aint nothing but a #
~ELIMU-at least 4m 4
~ASIOGOPE multiple orgasms,
nadhani zimejitosheleza
i do expect 2hv positive response,
plz ladies,its your turn,