Natafuta mwanamke wa kuoa.

Eheeee, yashakuwa hayo mkuu-basi nami ntakupiga kwa Jambia la mbeleni ati? si wajua zile kanzu zauzwa special na jambia lake kwa ajili ya harusi!

mwana JF,mbona mkali hivyo,hujanijibu kama umekubal upigwe kanzu ya OMAN,kama wataka na jambia utalikuta tu lakusubiria wewe!,au...
 
Mtu wangu kuna viwanja vya kucheki vifaa vya kuwa wenza, jichanganye kwenye social and public affairs, humu JF kweli unaweza pata lakini siku unamwona physical unaweza kuja kujuta. Tafuta wife kwa kumuona, sio hii offline!!!.
 
Mtu wangu kuna viwanja vya kucheki vifaa vya kuwa wenza, jichanganye kwenye social and public affairs, humu JF kweli unaweza pata lakini siku unamwona physical unaweza kuja kujuta. Tafuta wife kwa kumuona, sio hii offline!!!.

thanx kwa ushauri mwana JF
 
Mkuu usishituke hiyo ndiyo hali halisi ya chuo ulichosoma!Kujitambulisha kwa jina la chuo hicho ulichosoma ni lazima uwe mjasili.Maana elimu ya pale imechakachuliwa!pole sana mkuu!!

mi ni zaidi ya jasiri wa nafsi na roho,
 
chamajani niaje,
kimya cna mtu wangu,
Ha! Ha! Ha! Pole bana kwa yalyomkuta bro kule TBC, tulimwambia ss ucrudi bongo, alkaidi, haya na afaidi bac hyo cku ya idd! Aisee, lkuwa nikupe gf wangu wa zamani lkn kwa kuwa kibarua kimeota mchicha-skugaii tena,utamlisha nn
 
Ninasifa zote ila umri, so I am out of here!
 
Imezidi ndugu, si wengine tumekula chumvi nyingi
 
Ha! Ha! Ha! Pole bana kwa yalyomkuta bro kule TBC, tulimwambia ss ucrudi bongo, alkaidi, haya na afaidi bac hyo cku ya idd! Aisee, lkuwa nikupe gf wangu wa zamani lkn kwa kuwa kibarua kimeota mchicha-skugaii tena,utamlisha nn

ha ha ha,
bro alilijua hili mapema,ila alitimiza wajibu wake kwa wadanganyika wote bila kujal misimamo yao,
"komamanga" lako lieleze umri wake ndo kikwazo ningeling'oa,
eti ameniambia nae anataka ainjoy multiple orgasms japo ounce,
nikamwambia weeeeeeee!
 

Mm ndugu yangu haya ndiyo maendeo au.Mchumba unatafuta kwenye mtandao.Ni vema ukatumia ndugu zako ambao ninaamini unao au hata rafiki zako. Wape ndugu/rafiki zako hizo qualifications kama nia yako ni njema kweli sio ku-sample tu.Mbinu unayotumia wewe itakupeleka pabaya au upate ukimwi au uoe jini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…