unaogopa atakuchungulia mtaniUmri wako. Nimeona unapenda walokuzidi pia ila mi nimekuzidi sana ntakua sijiachii tukitoka
Tatizo sa mie kibonge. Tukitoka ntakua kama mamako mdogoAaah usiseme ivo....ilo litakuwa mikononi mwetu sunajua umri haupo katika paji la uso!
si umetajwa hapo?Ungeanza kumtag anayekuvutiaga humu ukajaribu bahati yako kwake
Eeeh mtani halafu naogopa kumuachia radhi nasikia watoto hawatakiwi kuona papuchi za waliowazidi umriunaogopa atakuchungulia mtani
Ameupdate thread yakesi umetajwa hapo?
muonee hata huruma tuEeeh mtani halafu naogopa kumuachia radhi nasikia watoto hawatakiwi kuona papuchi za waliowazidi umri
Utanijazia PM ujue...
Umevutiwa na maandiko yao ama sura/maumbo yao!!!?kama maandiko mbona yako n mazuri kiasi kidogo na kama n sura mbona id zao sio za kweli.tuambie kinaga ubaga umevutiwa na nn kwao ili ufanye uyatakayo...!!!ila kumbuka kuwa sio kila mwana jf ana nia njema na hii jf ama kila mwana jf yupo kwa ajili ya jf ama kila mwana jf yupo kwa ajili ya maslahi endelevu ya jf.Amani iwe Pamoja Nanyi!
Navutiwa sana na Jinsi Aspirin alivo na sky eclat , Smart911 alivyo na Mahondaw na pia wengine wengi ambao siwezi kuzijua couple zao!
Kwa kuvutiwa huko nami nimeona ni vema na ni jambo la kumpendeza Mungu ikiwa nami nitapata mwenzangu kupitia humu JF!
Maswala ya Elimu tusiulizane sana (Kwa aliye Tayari), Mimi elimu yoyote utayohitaji ipoo (Mpaka ya dini)😀😀!!
WASIFU WANGU
Below 27
Tall
Rangi Maji ya kunde
Mchangamfu
Mtani pia
Msikivu
Hii ni top 5 List ya ambao kweli wananivutia kwa kiasi fulani kutokana na michango yao ilioenda shule!
Mzigua90
Demiss
Nalendwa
Joanah
Thad
Nipo tayari kuwa na yeyote ilimradi tu awe anajua kutoa company at our free time!
Then ningefurahi zaidi kama amenizidi umri kidogo!
Naamini uzi huu hautoenda bure!.....Ukinielewa PM is there for you!
Stay blessed!
TheMason!
Oooh. Na wewe una nyama nyama? Mi napenda mtu awe na nyama kidogoahahahahaa Kumbuka kwenye kale kauzi ketu nilivokuwa nafagi Vibonge.....Hakika you met minimum requirements!
Yani angekua hata na miaka 28 ningemuelewa. Namuelewaga muda kweli kumbe mdogo wangumuonee hata huruma tu
Naiman wameskia na watajirekebishaTuwaambie waache tabia yao mbaya
Nimepitiwa nimetoa siri babu [emoji23][emoji23]Utanijazia PM ujue...