Natafuta mwanamke wa kuwa mke wangu, miaka 26 hadi 32

Natafuta mwanamke wa kuwa mke wangu, miaka 26 hadi 32

waco1920

Member
Joined
Oct 20, 2020
Posts
14
Reaction score
33
Habari marafiki zangu wa kwenye uwanja huu wa mahusiano!

Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 48 ambaye nina watoto tayari. Niliachana na aliyekuwa mke wangu miaka 8 iliyopita na hadi sasa nipo huru.

Kutokana na uhitaji wa mtu kama huyu, ndiyo maana nakuja hapa kushare na wenzangu.

Kama kuna mdada ambaye yupo serious kutafuta mtu wa kumuoa na siyo "kuoana" naomba tuwasiliane kwa dhati ya moyo wake.

Mimi ni mkristo wa Kilutheri, sinywi pombe lakini kama huyo ambaye yupo tayari anakunywa, katika kipindi cha kufahamiana awe huru tu na nitamnunulia.

Napenda kutoka out mida ya jioni baada ya kazi hasa siku za weekend.

Wasifu:
  1. Awe mkristo mwenye hofu ya Mungu​
  2. Awe na umri kati ya miaka 26 - 32 na urefu wa kuanzia ft5+​
  3. Awe mwenye mwili wa wastani kwani mimi sipendi watu wanene​
  4. Rangi yake iwe ya asili siyo ya kutengeneza, na awe ni msafi na mtanashati (mrembo)​
  5. Awe na elimu kuanzia kidato cha sita na kuendelea hata kama ana PhD cha msingi awe anataka mume​
  6. Awe anaishi Dar​
  7. Awe ni creative au ana kazi za kujishughulisha nazo​
  8. Awe na upendo wa dhati kwa ndugu na watoto wangu japokuwa ni wakubwa na siishi nao muda mwingi​
  9. Aidha, sifa za ziada ni pale tutakapokuwa tumekutana na kuonge.​
Angalizo kwa wana forum, ukiona mtu anaandika post kama hii jua anamaanisha. Kama kwako wewe utaona ni utani, basi waache wahitaji wajieleze bila kubughudhiwa au kukatishwa tamaa.

Mimi nitakapompata, nitarejea hapa naye ili kuwaonesha kuwa humu napo ni njia sahihi ya kupata mwenza.

Asanteni.
 
Kwani unafuikiri unatakiwa ukae miaka mingapi ndipo utafute mke humu! hapa tunakutana halafu tunafugana nje ya hapa dada!
 
urefu kazi umri na elimu vinasaidia nini kwenye ndoa? ina maana huko mtaani hakuna wanawake.katafute vijijini wanawake wazuri wapo
 
urefu kazi umri na elimu vinasaidia nini kwenye ndoa? ina maana huko mtaani hakuna wanawake.katafute vijijini wanawake wazuri wapo
Hahaaaa! vp tena mbona una panic? huko kwenye thread nimeeleza kama hayakuhusu bora upite tu! Kwangu, hivyo ndivyo vigezo ninavyovitaka.
 
Habari marafiki zangu wa kwenye uwanja huu wa mahusiano!

Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 48 ambaye nina watoto tayari. Niliachana na aliyekuwa mke wangu miaka 8 iliyopita na hadi sasa nipo huru.

Kutokana na uhitaji wa mtu kama huyu, ndiyo maana nakuja hapa kushare na wenzangu.

Kama kuna mdada ambaye yupo serious kutafuta mtu wa kumuoa na siyo "kuoana" naomba tuwasiliane kwa dhati ya moyo wake.

Mimi ni mkristo wa Kilutheri, sinywi pombe lakini kama huyo ambaye yupo tayari anakunywa, katika kipindi cha kufahamiana awe huru tu na nitamnunulia.

Napenda kutoka out mida ya jioni baada ya kazi hasa siku za weekend.

Wasifu:
  1. Awe mkristo mwenye hofu ya Mungu​
  2. Awe na umri kati ya miaka 26 - 32 na urefu wa kuanzia ft5+​
  3. Awe mwenye mwili wa wastani kwani mimi sipendi watu wanene​
  4. Rangi yake iwe ya asili siyo ya kutengeneza, na awe ni msafi na mtanashati (mrembo)​
  5. Awe na elimu kuanzia kidato cha sita na kuendelea hata kama ana PhD cha msingi awe anataka mume​
  6. Awe anaishi Dar​
  7. Awe ni creative au ana kazi za kujishughulisha nazo​
  8. Awe na upendo wa dhati kwa ndugu na watoto wangu japokuwa ni wakubwa na siishi nao muda mwingi​
  9. Aidha, sifa za ziada ni pale tutakapokuwa tumekutana na kuonge.​
Angalizo kwa wana forum, ukiona mtu anaandika post kama hii jua anamaanisha. Kama kwako wewe utaona ni utani, basi waache wahitaji wajieleze bila kubughudhiwa au kukatishwa tamaa.

Mimi nitakapompata, nitarejea hapa naye ili kuwaonesha kuwa humu napo ni njia sahihi ya kupata mwenza.

Asanteni.
 
😂😂Lea tu wanao
😉😉😉 Weeee! mimi ni lijali ndugu yangu. Na pindi atakayekuwa amepata nafasi hiyo nitamleta hapa na kuishukuru management ya JamiiForums..................
 
😉😉😉 Weeee! mimi ni lijali ndugu yangu. Na pindi atakayekuwa amepata nafasi hiyo nitamleta hapa na kuishukuru management ya JamiiForums..................
Usisahau mrejesho
 
Back
Top Bottom