Natafuta mwanamke wa kuwa na mahusiano nae

Natafuta mwanamke wa kuwa na mahusiano nae

Comrade DD

Senior Member
Joined
Apr 27, 2020
Posts
179
Reaction score
320
Natafuta mwanamke wa kuwa na mahusiano nae.

*Nilikuwa na mke ila kwa sasa tumetengana

*nina mtoto 1

*Kipato changu cha kawaida sana(kidogo)

*Umri wangu miaka 30

*sichagui umri wala idadi ya watoto uliokiwa nao, kikubwa kupendana na kujali afvya ndo kitu muhimu sana maana dunia imebadilika sana

*mimi naishi Dar, gongolamboto.

.....*Karibu kwenye pm yangu*.....
 
Back
Top Bottom