Natafuta mwanamke wa kuwa na mahusiano nae.
*Nilikuwa na mke ila kwa sasa tumetengana
*nina mtoto 1
*Kipato changu cha kawaida sana(kidogo)
*Umri wangu miaka 30
*sichagui umri wala idadi ya watoto uliokiwa nao, kikubwa kupendana na kujali afvya ndo kitu muhimu sana maana dunia imebadilika sana
*mimi naishi Dar, gongolamboto.
.....*Karibu kwenye pm yangu*.....