Anotherperson
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 601
- 672
Awe peace itapendeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji16]Kwani ukiadimika humu server za JF zinakuwa hazifanyi kazi ipasavyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Zinafanya bossKwani ukiadimika humu server za JF zinakuwa hazifanyi kazi ipasavyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hizo taarifa na wewe ungependa zikufikie? Maana hata uzi inawezekana usiuoneTaarifa zako ww sisi tupeleke wapi?
MGC
Upo sahihi, na haya mambo ya kutekana-tekana ni uhuni wa kishambaMbona wanazengo mnamzingua
Mbona kuna member humu wakipotea mnapata tabu kuwatafuta? Sasa yeye atafanya akipotea mkewe anajulishwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaorelax nao mkuu siwanaweza kukukosa kiasi cha kukutafutahuku tuna relax tu,hakuna faida yoyote kuonekana/kutokuonekana
duuuhKwani ukiadimika humu server za JF zinakuwa hazifanyi kazi ipasavyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke, mtoa taarifa inaingia humo
ha ha ha ha ha,haya mkuu wamekusikiaUnaorelax nao mkuu siwanaweza kukukosa kiasi cha kukutafuta
Sawa sawa mukuuha ha ha ha ha,haya mkuu wamekusikia
Kwanini asiwe mwanamme?Awe peace itapendeza
Kumbe ulimaniisha hivyo? Mbona wapo wengi wanajitangaza humu wakitafuta? Nyatia hao.Mwanaume wa kuwa na mahusiano?! Hapana niah nategemea mahusiano kati ya mwanaume na mwanamke yatayokua zaidi ikiwezekana hadi mke
Wanajitangaza vipi? Maana kufahamiana pekee ni mahusiano 'ikiwezekana hadi mke', sasa kufikia kuona hapo ndio kasheshe kwanza kuonana tu itachukua muda..Kumbe ulimaniisha hivyo? Mbona wapo wengi wanajitangaza humu wakitafuta? Nyatia hao.
Mimi ni daraja la Asprini siyo size yako.Wanajitangaza vipi? Maana kufahamiana pekee ni mahusiano 'ikiwezekana hadi mke', sasa kufikia kuona hapo ndio kasheshe kwanza kuonana tu itachukua muda..
Mungu akipenda lakini inawezekana, but mimi uhusiano huo wa kirafiki/kipeace kwanza. Kwani bado unajitoa?