Natafuta mwanamke wa kuzaa nae tu

Haaaa haaaaaa
 
Baadae mnaanza kuwasema vibaya single mothers! Na kukataa kuwaoa mnasahau kuwa visababish n ninyi
 

Mkuu umepandilia mumohumo kwenye tangazo la mwenzio na wewe umetupiamo la kwako..... Hahahahahahahaha Afadhali mumepa kampani kijana wangu aliyeleta uzi kama huu Matusi aliyotukanwa mpaka uzi ulikohamishiwa sijui kwa kweli... Tafuta Uzi Ulioandika '' Just Mimba Tu'' walitukanaa humu mpaka uzi ukapotezewa Mwamepande...

Hahahah
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamanii Mungu anakuona Flora Mbasha tenaa
 
Nimejaribu kuwa wazi sana, kwa sasa ndoa sihitaji, maana najua niliyoyapitia, sasa mtu asinielewe vibaya, Kwann Wanawake wanapenda kudanganywa. Mimi nitakua Baba wa mtoto mwenye Mapenzi kwa Mtoto na Mama aliyenizalia, si Lazima Tuoane.
Sasa kama utakuwa na mapnzi na mam na mtot bora tuu umalizie na ndoa maan wanawake wote awafanani!
 
[emoji13] [emoji13]
 
😳😳Haya wenye vizazi vya majaribio mje huku jamaa anataka mtoto tu
Pole kwa yaliyokukuta
 
Mm apa nimekuja ila rangi yangu in ya chungwa
time will tell
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…