Elimu ya Bachelor Degree ndio ipi hiyo?Mimi ni mwanaume wa miaka 30, elimu yangu ni bachelor degree, nahitaji mwanamke wa kuzaa nae, kigezo cha mwanamke awe angalau na diploma au zaidi, mwanamke yeyote yule awe ameshazaa au bado. nitamuhudumia akipata ujauzito na mtt nitasaidiana naye malezi. Sina mpango wa kuoa sasa hivi. Aliyekuwa tayari na serious anipm na aache mawasiliano. mm nipo Mpanda ndipo ninapofanya kazi
[emoji23] huu mzunguko kamwe hauishiiEti hataki kuoa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa ukizaa nae atakayekuja kumuoa nani kama si kuongeza idadi ya single mothers then mje kuanzisha uzi wa kuwatukana humu
Utaendelea mpaka basi[emoji23] huu mzunguko kamwe hauishii
biri mpaka utakapokuwa teyari kuoa mnajifanya hamna mpango kisha mnakuja hapa kutukana singo mamaz mchewwwwwwwwwwwwMimi ni mwanaume wa miaka 30, elimu yangu ni bachelor degree, nahitaji mwanamke wa kuzaa nae, kigezo cha mwanamke awe angalau na diploma au zaidi, mwanamke yeyote yule awe ameshazaa au bado. nitamuhudumia akipata ujauzito na mtt nitasaidiana naye malezi. Sina mpango wa kuoa sasa hivi. Aliyekuwa tayari na serious anipm na aache mawasiliano. mm nipo Mpanda ndipo ninapofanya kazi
Hahah...Pepo gani shekhe?Wanawake msikubali mtu wa aina hii, ni mtu complicated sana.mtasumbuana sana huko baadae.Halafu huyu ana aina fulani ya pepo.
Hiyo siyo fikra ya kawaida maana ni kinyume cha imani zote . hivyo nadhani ni pepo kutoka kwa shetaniHahah...Pepo gani shekhe?