Natafuta mwanamke wa kuzaa nae.

ngauyase

Senior Member
Joined
May 24, 2013
Posts
106
Reaction score
65
me ni mwanaume umri wangu ni miaka 26. Naomba nieleweke ninahtaji mwanamke wa kuzaa nae mtt na 2mlee mtt we2 ila kla mmoja aisha kvyake. Anaehtaj anpm au a2pie no ya cm.
 
Kwa urahisi zaidi click badoo au hi5 ni rahisi mno kupata.......... ni kama mamtoni mkuu!
 
Kwa njia hiyo utawapata walio desperate na kugegeda kiulainii kisha kusepa. Ngoja waje.

Ila kama ni mie ningekuambia tufanye artificial insemination kwa gynae.
 
Kwa njia hiyo utawapata walio desperate na kugegeda kiulainii kisha kusepa. Ngoja waje.

Ila kama ni mie ningekuambia tufanye artificial insemination kwa gynae.

inaonekana hawa watu wanaotangaza kila kukicha wanatafuta watu wa kufunga nao ndoa huwa wanatafuta watu wa kugegedana nao party time.Kuna umuhimu wa kuwatengenezea jukwaa la wagegedaji
 
Kijana mdogo kama huyu anatafuta mtambo wa kutotoa. Why asioe kama sio kukimbia majukumu na kutafuta mgegedo wa dezo?
inaonekana hawa watu wanaotangaza kila kukicha wanatafuta watu wa kufunga nao ndoa huwa wanatafuta watu wa kugegedana nao party time.Kuna umuhimu wa kuwatengenezea jukwaa la wagegedaji
 
Kijana mdogo kama huyu anatafuta mtambo wa kutotoa. Why asioe kama sio kukimbia majukumu na kutafuta mgegedo wa dezo?

unajua toka kamanda Kenyela aanze kamata kamata,watu wenye kiu wamekuwa wakitafuta sehem za kuponea,ndo maana nikashauri wawekewe forum yao mtu akiingia tu anakuta wamemsubiri
 
Kijana mdogo kama huyu anatafuta mtambo wa kutotoa. Why asioe kama sio kukimbia majukumu na kutafuta mgegedo wa dezo?

hebu ulza hao waliotangaza kutafuta waume/wake kama wamepata? Humu ubabaishaj m2pu me nmetafuta mwanamke wa kuzaa nae ila wote walionpm nmeonana nao n wazee hata cdhan kama wana uwezo wa kuzaa jaman. Haya c majanga.
 
Vipi mtalea kila mtu aishi vyake.......ndio mwanzo wa broken family zinavyoanza.
 
Vipi mtalea kila mtu aishi vyake.......ndio mwanzo wa broken family zinavyoanza.

hao waliopo kwenye ndoa na watoto wao wana maadl mabovu 2semeje? Me nlkuwa na grlfnd wangu n mwanafunz anakuja hm kwangu mda wwt na nnamrudsha kwao had saa saba ucku na baba na mama yake wote wapo hayo ndo maad unayozungumzia au yap.
 
Hapo kwanza sijaelewa.....unatafuta mwanamke wa kuzaa nae ...mwanamke yoyote mjamzito uende nae hospitali akiwa anazaa uwepooo auu wewe una mimba sasa unataka mwanamke akusindikize mkazae wote...yani hebu kuwa clear...
 
me ni mwanaume umri wangu ni miaka 26. Naomba nieleweke ninahtaji mwanamke wa kuzaa nae mtt na 2mlee mtt we2 ila kla mmoja aisha kvyake. Anaehtaj anpm au a2pie no ya cm.
Hapo kwanza sijaelewa.....unatafuta mwanamke wa kuzaa nae ...mwanamke yoyote mjamzito uende nae hospitali akiwa anazaa uwepooo auu wewe una mimba sasa unataka mwanamke akusindikize mkazae wote...yani hebu kuwa clear...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…