Natafuta mwanamke wa kuzaa naye

VECTOR

Member
Joined
Apr 17, 2013
Posts
44
Reaction score
4
Mimi nina miaka 40 ni muajiliwa.Ambaye yupo tayari anipm.Nitampatia sababu
 
Atakaye vutiwa na maelezo haya mpaka akakuPM atakuwa ni mbulula, mtu hata hujui kujieleza.
 
Sijakuelewa. Unatafuta mwanamke wa kuzaa nae yaani muende wote hospital mkazae kwa maana kwamba wote mnanmimba au vp? Dadavua mkuu ueleweke.
 
Omba wakupatie mayai na wewe semezana na revolaaaa kisha unachanganya unaweka kwenye incubator unasubiria kachanga....bhaassi
 
Sijakuelewa. Unatafuta mwanamke wa kuzaa nae yaani muende wote hospital mkazae kwa maana kwamba wote mnanmimba au vp? Dadavua mkuu ueleweke.

aha aha teh teh wera wera umetisha mkuu hili ndilo talk of the forum
 
Sijakuelewa. Unatafuta mwanamke wa kuzaa nae yaani muende wote hospital mkazae kwa maana kwamba wote mnanmimba au vp? Dadavua mkuu ueleweke.

Ndugu huyu mke wake atakuwa tasa.sasa anatafuta wakumzalisha nje ya ndoa.
 
aha aha teh teh wera wera umetisha mkuu hili ndilo talk of the forum

Mtu anakurupuka tu kama ametoka kufumaniwa na kuandika vitu vya ajab, haeleweki anamaanisha nn. Jambo kubwa kama hilo lazima uweke suppoting arguments kwann anataka kufanya hivo atleast mtu anaweza kushawishika. Hawa ndo huwa wanatongoza kwa kutoa pesa halaf anasema anajua kutongoza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…