Natafuta mwanamke wa maisha miaka (24-28)

Usisahau kuleta majibu!!!! Ukifanikiwa,ila kwa mtazamo wangu mapenzi lazimayapitie ugirl na uboyfriend kwanza cyo direct kwenye uchumba alafu ndoa.
 
Kabla sijakutana na baba Beata nilikua nna vigezo vyooote, sasa umechelewa kidoooogo nshaolewa na nmeshazaa pole sana hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…