CarloJesus
JF-Expert Member
- Nov 5, 2019
- 431
- 837
Mkuu sio muhimu Sana...japo Ni urembo wa mwafrika... kikubwa awe intelligent na mchamungu
Mume wangu[emoji7].
Neema ya bwana wetu yesu kristo
Na upendo wa Mungu baba
Na ushirika wa roho mtakatifu
ukawe nasi sote sasa na hata milele [emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo?The war winning is about best readness, equipment, strategy and timing [emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Asanteeee mtoto mzuri kwa kunimiss, hakika leo nimebahatika kuwa kiumbe cha pekee sana kwa kumissiwa na mlibwende kama wewe [emoji8]
Emu nenda PM huko ukishindwa niite
[emoji85]Emu nenda PM huko ukishindwa niite
[emoji3][emoji3]Mume wangu[emoji7].
Neema ya bwana wetu yesu kristo
Na upendo wa Mungu baba
Na ushirika wa roho mtakatifu
ukawe nasi sote sasa na hata milele [emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila la kheri amigoMada tajwa yahusika
Natafuta mwenza
Wasifu wangu
Siku miingi nshamalizana na Elimu ya(wao wanaita ya juu)chuo
Nimewahi kuajiriwa...nikaamua kukiajiri
Sina mtoto Wala sijawahi kuwa na mke
Ni mkristo (MKATOLIKI)
Shughuli zangu kubwa kilimo
Nb.Nawapenda na kuwaheshimu wanawake wote,lakini kipaumbele Cha tangazo langu hili Ni kwa wanawake :
Ambao hawana wala hawajawahi kuwa na mtoto
Elimu kuanzia kidato Cha nne
Umri usizidi miaka 25
Awe radhi kufuata Imani yangu
Mchamungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini umepotea hivyo,?Asanteeee mtoto mzuri kwa kunimiss, hakika leo nimebahatika kuwa kiumbe cha pekee sana kwa kumissiwa na mlibwende kama wewe [emoji8]
Sent using Jamii Forums mobile app