MjuviKitambo
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 711
- 811
Waoh! "If you mean it receive it "Mume wangu[emoji7].
Neema ya bwana wetu yesu kristo
Na upendo wa Mungu baba
Na ushirika wa roho mtakatifu
ukawe nasi sote sasa na hata milele [emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂 nakuja
Kwanini umepotea hivyo,?
Njoo Basi Kwenye Uzi wa selfika uweke japo kapicha nione nisafishe macho[emoji7]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona pp yako, kama hizo nywele ni zako OG, basi hakika mwenye mali atakuwa anakufaidi saaaana...[emoji28]Kwanini umepotea hivyo,?
Njoo Basi Kwenye Uzi wa selfika uweke japo kapicha nione nisafishe macho[emoji7]
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo Basi unionyeshe ya kwako.Hahaaa...hayo ni mambo binafsi, labda tungeshaonana ana kwa ana nisingesita kukutumia pia ni pm wala si kwenye kadamnasi ya watu kama unavyodhani mama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaah.Nimeona pp yako, kama hizo nywele ni zako OG, basi hakika mwenye mali atakuwa anakufaidi saaaana...[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Know your enemy and know yourself and you can fight a hundred battles without disaster.The war winning is about best readness, equipment, strategy and timing [emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah...watu wana bahati sana katika kufaidi mema ya nchi, mwambie mwenye mali akutunze inavyopasa ili wahuni wasimnyang'anye furaha yake ayseee...! [emoji23]
Wanafaidi Nini Sasa?Daaah...watu wana bahati sana katika kufaidi mema ya nchi, mwambie mwenye mali akutunze inavyopasa ili wahuni wasimnyang'anye furaha yake ayseee...! [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anafaidi tunda kupitia hisia za mvuto wa mwonekano wa nnje Mama [emoji851]Wanafaidi Nini Sasa?
Kipilipili hicho?
[emoji1787][emoji1787]
Nasubiri picha yako.
Don't let me down please
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanafaidi Nini Sasa?
Kipilipili hicho?
[emoji1787][emoji1787]
Nasubiri picha yako.
Don't let me down please
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaogopa Nini?Picha labda hadi tubahatike kuonana kwanza ana kwa ana ndipo zitatumwa inbox kwako mama
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahaahAnafaidi tunda kupitia hisia za mvuto wa mwonekano wa nnje Mama [emoji851]
Sent using Jamii Forums mobile app