MAKRESH MMAKA
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 155
- 19
Jamani niko sirious natafuta mke aje anitunze pamoja na kuitunza familia ye2 ambayo itapatikana mungu akipenda awe na sifa zifuatazo. 1.awe mwenye elimu japo ya msingi 2.awe mcha mungu. 3.acwe kiburi 4.acwe mlevi wa kilevi aina yeyote 5.awe na mapenzi ya kweli 6.awapende ndugu zangu kama anavyoipenda nafsi yake 7.awe mkarimu 8.anijali ktk kila hali. Kama unahic ww unalandana na haya karibu ktk dunia yangu ya mahaba. Nb msicha wa aina yeyote nipo tayari mzuri au mbaya mrefu au mfupi mwembamba au tinginya poa 2.