natafuta mwanamke wakunipa...

mzabzab

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2011
Posts
41,878
Reaction score
81,593
jamani natafuta mwanamke wakunipa mapenzi stress free...yaani sie nikupeana company bila kuudhiana na kuja hapa MMU kuja kuomba ushauri wa mahusiano yetu.

awe mweupe
mrefu sio chini ya 170cm
talkative
average boddy size
mpenda mpira ila sio mpenzi wa arsenal
funny
nawty in bed
 
170cm, ulifikiri tuko Russia hapa. Wengi wao andunje's labda ukatafute mmasai. Hebu tuwekee sifa zako.
 
Mimi nina 172cm lakini vingine vyooote sikwalifai...
 
170cm, ulifikiri tuko Russia hapa. Wengi wao andunje's labda ukatafute mmasai. Hebu tuwekee sifa zako.

male 26
178cm
maji ya kunde
average body build
talkative, funny patient, na mwenye roho ya upendo
msema kweli
 
mzabzab , nimeipenda lakini duuh umri umesogea naweza kuwa bibi yako!
Kila la kheri

hahaha kwani wewe ukumbuki wimbo wa dudu baya...nakupenda bibi kizee lol la msingi ni stress free relationship
 
mmmh sasa we kali wabongo tuna urefu wa wastni 2 labda ngongoti unaye mtaka.
 
mmmh sasa we kali wabongo tuna urefu wa wastni 2 labda ngongoti unaye mtaka.
 
mmmh sasa we kali wabongo tuna urefu wa wastni 2 labda ngongoti unaye mtaka.

dah jamani yaani mie nina ugonjwa na tall ladies...just go crazy balaa. alafu wanawake warefu are so humble
 
mapenzi hayaangalii umri...... age is a number tuuuh hebu muelewe kaka mzabzab
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…