Kuishi maisha kutokana na usawa uliopo na kuvumilia shida na raha.Maisha ya kawaida ndio yakoje?
Kawaida mwanamke awe na sura ya kikeMkuu kwahiyo wenye sura za baba washakosa mume sio vizuri aisee
Mrombo ashakuwa Manka tena?! Manka si hawa wezetu wa machame?we manka unafukuaaa?
aisee JF wambea sana
Sent From Ikulu-Magogoni street
Jmn! Mmefukua hadi makabuli ya Zaman!inAONEKANA HILI BANDIKO NI LA MARA YA PILI ..rejea hili la december 2016 duh..Nina miaka 27, natafuta mpenzi wa kike Dar
Hao wa chura ni kwa starehe tu lakini Sio kimaisha zaidi mkuuKigezo cha chura umesahau shemeji
mtoto wa kichaga wapili ni MANKAMrombo ashakuwa Manka tena?! Manka si hawa wezetu wa machame?
Jmn! Mmefukua hadi makabuli ya Zaman!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app