Uncle kassongo
Member
- Jul 19, 2019
- 23
- 6
hahaha zari la mentali ilo[emoji3][emoji3] hatimaye vikongwe tumekumbukwa
[emoji3][emoji3] hatimaye vikongwe tumekumbukwa
Haswaahahaha zari la mentali ilo
Kazi kwenu
Nina watoto 3 wakubwa wanaojitegemea kimaisha wanafanya kazi za uhakika je weweUna watoto wangapi kwanza ?[emoji4][emoji4]
Ahaaaa kwa nini nishindwe sitashindwa ugumu kumpata mnaolingana tabiaUshindwe wewe tu fursa iyo haina ata Yale mavigezo ya kuwa na umbo kama LA mabinti wa insta
Ukongwe upi ulionao[emoji3][emoji3] hatimaye vikongwe tumekumbukwa
Zali la mentali[emoji3]Mimi nipo dar na nahitaji mwanamke mwenye umri wa miaka 25 hadi 60 kwa mahusiano ya dhati. Umri wangu ni miaka 49 na nipo serious with a true love tuwasiliane kwa namba 0784615578.
Niambie lakini hujambo na upo wapi kimakaziAya anko
Kwa kweli[emoji3][emoji3] hatimaye vikongwe tumekumbukwa
Mimi nipo dar kimakazi na nipo serious sana kwani najua kupenda na kupendwa naomba tuwasiliane basiNiambie lakini hujambo na upo wapi kimakazi
Namba hiyoNiambie lakini hujambo na upo wapi kimakazi
Watoto wa nini karithi km kylin machacheUna watoto wangapi kwanza ?[emoji4][emoji4]
Ushatuma maombi? Usiseme mmekumbukwa harafu unachelewa kutuma maombi mpaka deadline ifike .ohooo.[emoji3][emoji3] hatimaye vikongwe tumekumbukwa
Umefanikiwa ?Namba hiyo