Watoto wake washavuka 16 hawakuhusu hao.Una watoto wangapi kwanza ?[emoji4][emoji4]
Peleka maombi faster kabla deadline wewe. Changamkia fursa.Kwa kweli
Bado sijafanikiwa naomba tuwasiliane basi na kufahamiana. Nasubiri namba hiyoUmefanikiwa ?
Hujambo na maisha vipiPeleka maombi faster kabla deadline wewe. Changamkia fursa.
Naandaa cvPeleka maombi faster kabla deadline wewe. Changamkia fursa.
kama ni yeye??Anko Kassongo hiyo avatar ni wewe??
Mimi nipo dar na nahitaji mwanamke mwenye umri wa miaka 25 hadi 60 kwa mahusiano ya dhati. Umri wangu ni miaka 49 na nipo serious with a true love tuwasiliane kwa namba 0784615578.
Tulia naongea na ankokama ni yeye??
Anko Kassongo hiyo avatar ni wewe??
Kwani kikongwe hana roho[emoji3][emoji3] hatimaye vikongwe tumekumbukwa
Sio mwanamke[emoji3][emoji3] hatimaye vikongwe tumekumbukwa
Mate gani au yapi basi nakututaka wewe maana miaka 60 sio kikongwe ila ugumu wa maishaMwanamke wa miaka 60 ana utamu kweli? au Unataka kupakaliwa mate tu na kikongwe hicho?
UmefanikiwauncleBado sijafanikiwa naomba tuwasiliane basi na kufahamiana. Nasubiri namba hiyo
Utamu anao je wewe una miaka mingapi na ni mtamu tuwasilianeMwanamke wa miaka 60 ana utamu kweli? au Unataka kupakaliwa mate tu na kikongwe hicho?
Najua siwezi kosa ndio namsubiriHuwezi kukosa Mkuu kwa range hio,utapata wa miaka kuanzia 30
Ahaaaa hupendi nao wale raha vijana wengi sio wakweli na wanataka huku na kule wapo bize na simu hata nyumbanihahaha zari la mentali ilo
Kazi kwenu
SijafanikiwaUmefanikiwa ?
Mkuu wenzio huwa wanatutenga ndio uwaambieKwani kikongwe hana roho