uje na Gari unauza au unataka kununuaWewe njoo pm aiseee
usijali najikubali na rangi hii hii.Pls delete. Nilikiwa natania sorry times 1000 my dear
Sawa [emoji1666]Angalia PM yako
Mbona kutishanauje na Gari unauza au unataka kununua
Huu wako unatosha mkuu tubanane hapa hapa 😅😅Andika uzi [emoji23]
Hakuna mwenye vigezo hivyoNamimi pia natafuta
Sifa zangu
Nina miaka 24
Elimu: kidole kinachofuata baada ya Shahada kabla ya kidole cha chanda
Kazi : Jobless
Rangi: mweusi
Urefu: Mrefu sana
Mwili: kawaida
Sifa za mwanamke nimtakae
Umri: yeyote
Dini: yeyote
Elimu: yeyote
Rangi: yeyote
Kazi: yeyote
Mwili: yeyote
Urefu: yeyote
Mwenye vigezo karibu DM [emoji1666]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika ntauleta[emoji1666]Mkuu ukipata leta mrejesho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Huu wako unatosha mkuu tubanane hapa hapa [emoji28][emoji28]
Andika uzi wako [emoji1666]Sisi wa la 7 hututaki??.
Halafu hii I'd yako inaonekana ni maalum kwa kutafutia mwanamke,unayo id nyingine ya matukio mengine?
Sawa mkuu Citizen BNamimi pia natafuta
Sifa zangu
Nina miaka 24
Elimu: kidole kinachofuata baada ya Shahada kabla ya kidole cha chanda
Kazi : Jobless
Rangi: mweusi
Urefu: Mrefu sana
Mwili: kawaida
Sifa za mwanamke nimtakae
Umri: yeyote
Dini: yeyote
Elimu: yeyote
Rangi: yeyote
Kazi: yeyote
Mwili: yeyote
Urefu: yeyote
Mwenye vigezo karibu DM [emoji1666]
Sent using Jamii Forums mobile app