Natafuta mwanamke

Mimi no MTU mzima ambaye pia ninajiheshimu na natafuta mwanamke mkweli na muaminifu kwa ajili ya mahußiano ya kweli. Umri wangu miaka 52 aliye tayari anitafute kwa namba 0784355760
Jieleze vizuri una maana gani kusema we ni mtu mzima...we ni govi au? Samahani lakini huku kwetu mtu mzima ni mtu aliye govi na kwa umri ulio nao hutoweza pata mwanamke kwani haturuhusu dada zetu waolewe na watoto (watu wasiotahiriwa), tunataka watu wa heshima tu.
 
Mimi no MTU mzima ambaye pia ninajiheshimu na natafuta mwanamke mkweli na muaminifu kwa ajili ya mahußiano ya kweli. Umri wangu miaka 52 aliye tayari anitafute kwa namba 0784355760
Unatafuta mwanamke Bongo tena mitandaoni.....mkuu, una miaka mingapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…