Natafuta mwanamme kuwa mme baadae

Pandamlima

Senior Member
Joined
Feb 27, 2013
Posts
143
Reaction score
13
Jamani hivi kwa nini watu wakiona request kama hizi yaani wanakuja kwa spidi sana, wakati hata mtu humjui, chungeni adabu yatakuja kuwatokea puani bure....nawasilisha
 
Mimi nnachoshauri tuache kupalamia watu mitandaoni,,,siku utapalamia na fisi uliwe mifupa
 
Kilichomo hakiendani na thread yenyewe. Labda nina poor thinking capacity.
 
Hahahaha umetukamata wengi,wanaume wengi tunapenda slope mkuu
nani anataka kutumia msuli kama unaomba ajira bana
 
Nigga,,nipo na wewe kumbe midume mingi tunapenda slope eeeeehhee, leo nimewajua
 
Mzee si tunapenda hilo tangazo sasa tuki ku-PM wewe huwez kutusemelea kwa mode kweli maana huo ni uchokozi kwetu sie mashabiki wa hilo neno lako.
 
akili yako imekaa kitapeli ndio maana busy ya maisha watu wanawasiliana kwa mitandao ww unaruisha enzi za babu zetu za kukutana chaka
 
Haiwezekani unirushe roho hivi bure,mi nakupm asee moyo wangu utulie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…