Usitafute sympathy.
komaa,haya maisha ukijiua ujue haumkomoi mtu na baada ya maziko yako hakuna atakayekukumbuka na hasa ukiwa hauna watoto.
Ukiwa na mke after few days anakusahau.
LAbda naweza kukushauri uzae kwanza watoto kisha ndio ufikirie kujiua maana ukijiua baada ya kuzaa basi watoto watakukumbuka.
Lkini pia usubiri wakue wafik japo miaka 7 hivi ndio ujiue kwa sababu kijiua wakati bado ni wadogo basi hawawezi kukukumbuka.
ALafu kujiua ni mchakato sio ishu ya kitoto,wakati unakata roho unaweza kutamani uahirishe zoezi maana utaona dunia kumbe ilikuwa tamu licha ya matatizo unayopitia,lakini ndio unakuwa ushachelewa.
Wanaojiua hujutia katika hatua zao za mwisho ndio maana wanaojinyonya utakuta alama za vidole kwenye shingo zao wakijitahidi kusitisha zoezi ili warudi kwenye utamu wa dunia wenye shida.
SIna haja ya kujua umepatwa na nini,ila ninachojua ni kwamba kujiua hakutokani na matatizo bali kunatokana na mindset ya mtu,mfano wewe hapo.
Hicho kilichokupata kuna wengine kimewapata lakini hawajafikiria kujiua bali walipambana na hali na wakaishinda.
Yaaani hakuna jipya litakalokukuta wewe ambalo hajapitia mwingine,unachohitaji sio kujiua bali unahitaji mtu wa kukaa naye na akusikilize uteme nyongo zoooooote bila kufichaficha kitu,hiyo ni tiba njemA
Stay strong,jiambie kwamba "THIS TOO SHALL PASS" Hili nalo litapita.
Kila ukipata tatizo kubwa basi kumbuka huo usemi usemao,THIS TOO SHALL PASS.
hata hilo linalokupata sasa hivi litapita na utakuwa sawa baadae na kama huamini kwamba litapita basi wewe jaribu KUVUMILIA USIJIUE ALAFU TUONE KAMA HALITAPITA.
Unapovumilia matatizo na usijiue basi unaruhusu matatizo yapite ili wewe ubaki,ila unapojiua kwa sababu ya matatizo basi umeruhusu wewe ndio upite na matatizo yabaki.
KWA SASA UNAHITAJI MTU WA KUKUSIKILIZA SAANA WEWE,NA WALA HAUHITAJI MTU ILI UMSIKILIZE YEYE.
UKITAFUTA MTU AKAKUAMBIA MAMBO MENGI NA MAUSHAURI KIBAO UTAJIKUTA UNAONDOKA BADO UKO NA UZITO KATIKA NAFSI.
tafuta mtu akusikilize uelezee shida zako zooooote kwa utuo na kwa uwazi na pia JITAHIDI KUELEZEA NI KITU GANI UNAHOFIA JUU YA MATATIZO YAKO MPAKA IFIKIE HATUA YA KUJIUA.
kuna wanaojiua sio kwa sababu picha zao za ngono zimevuja hapana,bali wanahofia iwe wataonekanaje na watu ?ndio wanajiua.
kuna watu wanajiua sio kwa sababu wamebakwa baada ya kufumaniwa bali wanajiua kwa sababu wanahofia jee wataonekanaje na jamii ?
hivyo kinachokuuwa sio tatizo bali ni matokeo unayoyafikiria kichwani juu ya athari Za mataizo hayo.
kwa nini nimesema ni matokeo unayoyafikiria ? Ni kwa sabau sio matokeo halisi kama unavyofikiria.