Natafuta mwanasheria wa familia

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,425
Reaction score
4,768
Natafuta mwanasheria au taasisi inayotoa huduma ya wanasheria ili awe mshauri na mtetezi wa familia yangu pale inapobidi.

Malipo yake yatatokana na makato yangu ya mshahara kila mwezi ,kiwango cha malipo ni kitafanana na makato yanayotakiwa kukatwa kwa ajili ya chama cha wafanyakazi.

Kwa aliye tayari anielekeze ofisi zake nimfuate kwa majadiliano zaidi.
 
Mkuu tuna huduma inakaribiana na hii ni PM for more discussion.
 
Am available..!!!! U can PM me for further details.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…