Mariangonyani
Member
- Mar 31, 2013
- 39
- 59
1. Akubali hali yake na ajue kuwa na vvu sio mwisho wa maisha.
2. Elimu kuanzia kidato cha sita asiwe tegemezi na awe mchapakazi
3. Asiye na kisasi ajue kuwalinda walio wazima yaani asiyeendelea kusambaza ugonjwa kwa wengine coz atajiangamiza yeye na mimi pia
4. Awe na watoto wasiozidi wawili
5. Awe anamuogopa mungu na awe smart
6. Nitumie msg inbox
2. Elimu kuanzia kidato cha sita asiwe tegemezi na awe mchapakazi
3. Asiye na kisasi ajue kuwalinda walio wazima yaani asiyeendelea kusambaza ugonjwa kwa wengine coz atajiangamiza yeye na mimi pia
4. Awe na watoto wasiozidi wawili
5. Awe anamuogopa mungu na awe smart
6. Nitumie msg inbox