Mariangonyani
Member
- Mar 31, 2013
- 39
- 59
mbona wewe hujaweka wasifu wako!uko wapi na nini malengo ya kumpata!!1. Akubali hali yake na ajue kuwa na vvu sio mwisho wa maisha.
2. Elimu kuanzia kidato cha sita asiwe tegemezi na awe mchapakazi
3. Asiye na kisasi ajue kuwalinda walio wazima yaani asiyeendelea kusambaza ugonjwa kwa wengine coz atajiangamiza yeye na mimi pia
4. Awe na watoto wasiozidi wawili
5. Awe anamuogopa mungu na awe smart
6. Nitumie msg inbox
Yupo mmoja anatafuta mwanamke vigezo vyote anavyo ila hivi sasa ni mwaka wa pili yuko kitandani analishwa na kila kitu kumalizia hapo hapo. Vipi nikuunganishie?
Nimekupata vyema maana nilikuwa sijakusoma. Mungu atakusaidia kumpata huyo umtakaye.uwepo wake kitandani sishangai coz ata wewe utakuja kuwa kitandani tena kwa ugonjwa wa aibu kuliko uo ukimwi , pili natafuta mwenye vvu hujui lolote kuhusu ukimwi wewe na mwisho natafuta mwenye status kama yangu akija kuupata uo ukimwi nitamuuguza ata aumwe miaka mia
mapenziuhai@gmail.com
lovingcaringm@yahoo.com
1. Akubali hali yake na ajue kuwa na vvu sio mwisho wa maisha.
2. Elimu kuanzia kidato cha sita asiwe tegemezi na awe mchapakazi
3. Asiye na kisasi ajue kuwalinda walio wazima yaani asiyeendelea kusambaza ugonjwa kwa wengine coz atajiangamiza yeye na mimi pia
4. Awe na watoto wasiozidi wawili
5. Awe anamuogopa mungu na awe smart
6. Nitumie msg inbox