The door is open pia,but sihitaji kudhihakiwaKila la kheri, but kubali hata asie na VVU, wanadam hawachelewi kusema umewabagua.
Pia wazo kwann usiwasiliane na kituo chenu wakakupatia usaidizi mzuri tu.
An ant on the move does more than a dozing ox.
Am trying my lucky kote kote rafikiKila la kheri, but kubali hata asie na VVU, wanadam hawachelewi kusema umewabagua.
Pia wazo kwann usiwasiliane na kituo chenu wakakupatia usaidizi mzuri tu.
An ant on the move does more than a dozing ox.
Mungu Yupo atakidhi haja ya Moyo wako lkn unahitaji mwanaume wa sex au Mume wa Ndoa?
Atakaekudhihaki hatakuwa na utu..mkuu kwa wasiokuwa waathirika itakuwaje the door is open?..si utamuambukiza
Primary objective ni ndoa lakini pia ndoa inakuja baada ya kuridhiana,being positive tuu haimaanishi kuwa tutakuwa perfect for each other,tukicopy tunakuwa mume na mkeMungu Yupo atakidhi haja ya Moyo wako lkn unahitaji mwanaume wa sex au Mume wa Ndoa?
Sent using Jamii Forums mobile app
No kama unajitambua ni positive unaweza mlinda mwenzi wako,Atakaekudhihaki hatakuwa na utu..mkuu kwa wasiokuwa waathirika itakuwaje the door is open?..si utamuambukiza
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wakati niliweka uzi hapa, ukimpenda mtu na akikwambia kuwa yeye ni +ve huna haja ya kuwaambia hata ndugu zako kama mmependana oaneni
Na Mwenza nae anabaki Safe ama ni Katoto pekee...[emoji15] [emoji15] [emoji15] !!Watu hawaelewi tu kuwa mwathirika anaoa/kuolewa na asieathirika na wanazaa watoto wazima na maisha yanasonga
Hawaelewi Dada,siku uje na somo hiliWatu hawaelewi tu kuwa mwathirika anaoa/kuolewa na asieathirika na wanazaa watoto wazima na maisha yanasonga