Natafuta mwanaume mwenye hali kama yangu

Na asiye mwathirika hana haja ya kuwa am bia ndugu na jamaa juu ya afya ya mwenzake
 
Kila la kheri faithhope , jf kuna mambo kweli yaani wale wa 'njoo pm/ni pm fasta' siwaoni.

Even a black folk hate to see another nigga made it..
 
Uko sahihi mkuu sorry upo mkoa gani
 
Watu hawaelewi tu kuwa mwathirika anaoa/kuolewa na asieathirika na wanazaa watoto wazima na maisha yanasonga
Maisha ya ndoa siyo kuzaa watoto tu, kuna issue ya lifespan, matunzo na kuenjoy sex bila mipaka hivyo bora ajitafutie wanayefanana na pia kuna unyanyapaa muulize km kapata pm nyingi km vile ambapo wengine wanapata.
 
Hizi issue zinaniumiza sana

Nimejitunza mpaka kumaliza masomo yangu

Tena nimevumilia sana mpaka natimiza miaka28 sikuwahi kuhivyo hivyo afu nampata MTU anasema kama unachosema mtoa mada

Afu ndo hivyo najikuta nimempenda kabla hajamaliza kuongea

Anaendelea kunisisitiza atakuwa mwema kuliko wanawake wote

Huku akionyesha tabasamu LA ndani kabisa kwenye chemba ya moyo na Roho

mtoa mada pengne uzuri wako ukawa ni zaidi ya kasoro ulizo nazo

Ila mm Niko tayari but sitakuwa na amani

Born to die
Come with me
Liwalo na liwe



Don't mind me
 
Mtoa mada, mi swali langu ni ulipataje hivyo virusi?

Nia si kukudhihaki, ila huenda sisi tusiofit vigezo tukapata na cha kujifunza. Ila tu, kama ukijisikia huru kushare nasi. Natanguliza shukrani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mentor umenikumbusha thread yako Fulani hivi ilileta taharuki humu jamvini.
Siku hazigandi.......
 
Duuuh, aisee [emoji15]. Pole sana dear. I'm speechless now.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…