Natafuta mwanaume mwenye malengo ya ndoa

Am below that qualification age! What can we do ma dear!
 
Unatafuta mume au gari mbona masharti ni mengi uskute nyie ndio wale sura mbaya ila una bonge la t.......o
 
MM NIMSUKUMA NINAMIAKA 34 VIP UPO TAYARI TUENDE FALAGHA?
 
Hapa naona Wajita hatuna chetu. Tunakutakia maisha mema kwa huyo utayempata mama, ila angalia wasidonoe wakesepa.
 
Kwa vigezo hivyo tengeneza mwanaume wa udongo make atamfanya kulingana na wewe unataka
 
Rangi ya chocolate ndo ipi hiyo? Hivi binadamu ana rangi nyingi enhe? Nilikuwa sijui
 
MIMI NI MSUKUMA NINA MIAKA34 KAMA UMEPENDA TUINGIE FALAGHA
 
Namba 5 Mbona unatutenga kwa nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…