Queen Rover
Member
- Apr 29, 2015
- 88
- 79
- Thread starter
-
- #61
Maisha Ni kuchagua Kaka yangu. Siku njemambona huna spirit ya uvumilivu?
Kwa nini hujiamini?!.
Nlishawahi kuona post kama hii ulitaka mtu mwenye umri wa z aidi ya miaka 40 (nadhani ulikuwa unatafuta sugerdaddy).
Umri wako miaka 22, na unajipambanua kuwa ni determinant woman.
Unahofia nini wakati unajishughulisha?, kila jambo lina wakati sahihi. Bado upo na muda wa kusubiri huku unaiandaa future yako.
Ndoa sio mahusiano rahisi, sio biashara, sio ubaguzi kama uliouweka hapo ktk post yako. Ndoa ni zaidi ya unavyodhani, ndoa ni mkataba wa upendo.
KUWA NA SUBIRA.
Kwasababu iliyopo nnje ya uwezo wangu... Hawa watu nimeishi nao hapana aisee hasira zao sijui ni asili hapana siwez ..Namba 5 Mbona unatutenga kwa nn
Mwanamke kwetu Wajita na wakurya anabakia kuwa mwanamke Tu, unataka mwanaume akufanyie nn tena if you're given everything in your life that deserve to be given. Mapenzi na Ndoa za Kwenye Tamthilia za Philippines Ukuryani Ama ujitani hatuna sisi.Kwasababu iliyopo nnje ya uwezo wangu... Hawa watu nimeishi nao hapana aisee hasira zao sijui ni asili hapana siwez ..
Mwanaume ni kama mtoto adekezwe, mke anasimama na mengi... Muda mwingine anakua mshauri kwa mambo ya maendeleo, Muda mwingine kama mama,,as binadamu tunapitia mengi.. Muda mwingine kama mpenzi ndo Yale ya kufeel upendo... Hawa viumbe kwao sheria moja mke mke tu......
Sifa Zangu
Jinsia Yangu KE, Miaka 22, Naishi Dar Es Salaam... Nina umbo la wastani/urefu wa wastani, Rangi ya chocolate, Ni mjasiliamali na pia najiendeleza kielimu, sina mtoto,. Ni Mkwel na Mcha Mungu, Mkristo, Nina Akili Ya Maisha, Ni Muelewa na Nipo makini sana hasa kwenye mambo ya maendeleo, ninajali na nina heshima, nimefunzwa vizur kwetu, mengine tutafahamiana PM
Sifa Za Anaetakiwa
1.Miaka 28 na kuendelea
2.Awe Mkristo
3.Asiwe Mweusi Wala Mfupi
4.Awe na kazi maalumu ya kueleweka inayomuingizia kipato
5.Usiwe Mkurya wala Mjita
6.Usiwe Mme Wa Mtu (I want a free man to build future with)
7.Awe Muelewa, Mpole na anaejielewa anahitaji nini katika maisha.
8.Ukiwa na mtoto sio tatizo
Kama ni kwel upo serious na una hitaji mke ili muyajenge maisha pamoja, na unakidhi sifa hizo hapo juu, ni PM tufahamiane zaidi.... Mbarikiwe.
Jion njema.
Pole sana. Subira muhimu,watakuja wa vijeba.Hivi wandugu ule mradi wa wachina wa kutafiti dawa ya kuongeza urefu....umefikia wapi...???
Maana sisi vijeba tunapitwa na mengi.....
Oh ata mm nipo makini,pm ur cvNipo serious singependa matani
Matumaini yameshapotea ndugu yangu....hatuna budi kuupigania urefu kwa kila hali ili tuendane sawa na uhitaji wa soko la mahaba la wakati huu.....Pole sana. Subira muhimu,watakuja wa vijeba.
wanawake wadar hamkomi tu ndoa ndoanoSifa Zangu
Jinsia Yangu KE, Miaka 22, Naishi Dar Es Salaam... Nina umbo la wastani/urefu wa wastani, Rangi ya chocolate, Ni mjasiliamali na pia najiendeleza kielimu, sina mtoto,. Ni Mkwel na Mcha Mungu, Mkristo, Nina Akili Ya Maisha, Ni Muelewa na Nipo makini sana hasa kwenye mambo ya maendeleo, ninajali na nina heshima, nimefunzwa vizur kwetu, mengine tutafahamiana PM
Sifa Za Anaetakiwa
1.Miaka 28 na kuendelea
2.Awe Mkristo
3.Asiwe Mweusi Wala Mfupi
4.Awe na kazi maalumu ya kueleweka inayomuingizia kipato
5.Usiwe Mkurya wala Mjita
6.Usiwe Mme Wa Mtu (I want a free man to build future with)
7.Awe Muelewa, Mpole na anaejielewa anahitaji nini katika maisha.
8.Ukiwa na mtoto sio tatizo
Kama ni kwel upo serious na una hitaji mke ili muyajenge maisha pamoja, na unakidhi sifa hizo hapo juu, ni PM tufahamiane zaidi.... Mbarikiwe.
Jion njema.
Ungejishauri kwanza wewe serikali yake ni kichwa chake mwenyewe..! Imoral girl mama wewe ukome maliza yako kwanza.22 yrs unaitaka ndoa. Still young. Ungefikisha hata 25 ndio uanze mchakato. Watu wanalia kila siku humu..huwaoni? Kila la kheri..utampata!
Kweli unajifahamu mdada ndoa bhana ni wewe unavyoichulia, hakuna formula kwenye maisha ya ndoa mazingira yata determine how to survive in yr married.MimiT@ miaka sio tatizo... Ikiwa tayari ninajielewa na najua ni nini nataka maishani mwangu.. Ninaweza kumpenda na kumuheshimu mme wangu... Kwa wanaolia aidha ni kasoro chache chache za wenza wao... Hakuna binadamu asie kasoro
Ha ha ha haa..kwenye hiyo sekta mchina bado sana,anahangaika na yale makitu ya wanamama.Matumaini yameshapotea ndugu yangu....hatuna budi kuupigania urefu kwa kila hali ili tuendane sawa na uhitaji wa soko la mahaba la wakati huu.....
Mwanamke wa wapi wewe mbona kila mahali unanifatafata?Ungejishauri kwanza wewe serikali yake ni kichwa chake mwenyewe..! Imoral girl mama wewe ukome maliza yako kwanza.
Umaarufu wako umekufanya kuwa cha wote...Mwanamke wa wapi wewe mbona kila mahali unanifatafata?
Cha wote except you. Mbona povu linakutoka sasa?Umaarufu wako umekufanya kuwa cha wote...
Mimi na extreme used wapi na wapi??Cha wote except you. Mbona povu linakutoka sasa?
Sifa zooote za kua kiongozi wetu anazo ila tatizo mkaraaa!!! (In Mwl voice)Sifa zootee anazo, lakini tunasema haah jama.... Mkurya! ? (In Nyerere voice)