Natafuta mwanaume mwenye malengo ya ndoa

Maisha Ni kuchagua Kaka yangu. Siku njema
 
Namba 5 Mbona unatutenga kwa nn
Kwasababu iliyopo nnje ya uwezo wangu... Hawa watu nimeishi nao hapana aisee hasira zao sijui ni asili hapana siwez ..

Mwanaume ni kama mtoto adekezwe, mke anasimama na mengi... Muda mwingine anakua mshauri kwa mambo ya maendeleo, Muda mwingine kama mama,,as binadamu tunapitia mengi.. Muda mwingine kama mpenzi ndo Yale ya kufeel upendo... Hawa viumbe kwao sheria moja mke mke tu......
 
Mwanamke kwetu Wajita na wakurya anabakia kuwa mwanamke Tu, unataka mwanaume akufanyie nn tena if you're given everything in your life that deserve to be given. Mapenzi na Ndoa za Kwenye Tamthilia za Philippines Ukuryani Ama ujitani hatuna sisi.
Though you can find that umeolewa na mwanaume msomi na muelewa but still lazima ubakie kuwa mwanamke kiumbe kisichoaminika siku zote kiumbe ambacho Ni pretender WA Kila kitu and very hypocrite one atakifanya mpole kumbe jeuri kama nini .
Samahani Kwa Wamama I know you there, fighting for your kids as My Mama did, to raise us, took us to school from 0-1 but though daddy was jeuri na Matabia ya kiume but ukimsikiliza mama na wote wawili lazima uone utata upande Fulani hv Haaa Haaa UKIKOSEA KUOA UMEOLEWA MEN WE SHOULD BE MORE KEEN WITH WOMEN OVER.
 
 
wanawake wadar hamkomi tu ndoa ndoano
 
22 yrs unaitaka ndoa. Still young. Ungefikisha hata 25 ndio uanze mchakato. Watu wanalia kila siku humu..huwaoni? Kila la kheri..utampata!
Ungejishauri kwanza wewe serikali yake ni kichwa chake mwenyewe..! Imoral girl mama wewe ukome maliza yako kwanza.
 
MimiT@ miaka sio tatizo... Ikiwa tayari ninajielewa na najua ni nini nataka maishani mwangu.. Ninaweza kumpenda na kumuheshimu mme wangu... Kwa wanaolia aidha ni kasoro chache chache za wenza wao... Hakuna binadamu asie kasoro
Kweli unajifahamu mdada ndoa bhana ni wewe unavyoichulia, hakuna formula kwenye maisha ya ndoa mazingira yata determine how to survive in yr married.

Afu mjue issue ya kazi ni kigezo kidogo mno cha msingi pata mtu anayeelewa maana ya ndoa. Mengine mtabarikiwa tu Mungu wetu ni mwema.
 
Dada yangu kwa hio age bado sana angalau ungefikisha 25 angalau kidogo bado akili yako ya kukaa Na mume ndoa sio mchezo Mdogo wangu kuna watu wanatamani kutoka sasa wewe unachokitafuta utakipata
 
Matumaini yameshapotea ndugu yangu....hatuna budi kuupigania urefu kwa kila hali ili tuendane sawa na uhitaji wa soko la mahaba la wakati huu.....
Ha ha ha haa..kwenye hiyo sekta mchina bado sana,anahangaika na yale makitu ya wanamama.
 
Ungejishauri kwanza wewe serikali yake ni kichwa chake mwenyewe..! Imoral girl mama wewe ukome maliza yako kwanza.
Mwanamke wa wapi wewe mbona kila mahali unanifatafata?
 
Kha! Kumbe huyu dada ni mzungu? Hivi hajui kama yeye anaitwa blackwoman? Waswahili kweli tumelaaniwa.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…