themanhimself176
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,806
- 2,830
Unawatoto wangapi wa nje ya ndoa? Maana avatar yako inaashiria hivyo.Mimi nina 27yrs.
Mchaga.
Nina diploma.
Mimi siangalii sana muonekano wa nje awe na 30+yrs.
Mkristo.
Muajiriwa/aliyejiajiri.
Naomba yule aliyeserious aniPM tufahamiane zaidi.
Wewe zuniga ulichokuwa unatakiwa ni kuulizaa ni mchaga wa Machame au?Du mchaga mm hapo sifa sina mchaga ukipata Mali anakuondoa kabsa ili aoe mwanaume anae mmiliki
Hapo kwenye kabila 'Mchaga' sithubutuMimi nina 27yrs.
Mchaga.
Nina diploma.
Mimi siangalii sana muonekano wa nje awe na 30+yrs.
Mkristo.
Muajiriwa/aliyejiajiri.
Naomba yule aliyeserious aniPM tufahamiane zaidi.
Hahahhahahhahaha. Unawza pata jitahidi sanaMimi nina 27yrs.
Mchaga.
Nina diploma.
Mimi siangalii sana muonekano wa nje awe na 30+yrs.
Mkristo.
Muajiriwa/aliyejiajiri.
Naomba yule aliyeserious aniPM tufahamiane zaidi.
Una diploma ya niniMimi nina 27yrs.
Mchaga.
Nina diploma.
Mimi siangalii sana muonekano wa nje awe na 30+yrs.
Mkristo.
Muajiriwa/aliyejiajiri.
Naomba yule aliyeserious aniPM tufahamiane zaidi.
Mmh hapo kwenye umri tuu ndio kikwazo ongeza kidogo iwe hata 35. Alafu kabila na dini yoyote tuu. Ili tuwe wengi sawa wahitaji.Hapo kwenye uchaga ndio umejiharibia! Any way watakuja wachaga wenzako
Sent using Jamii Forums mobile app