Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Joined
Jun 27, 2016
Posts
30
Reaction score
81
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:

[emoji701]awe mrefu rangi yoyote
[emoji670]asiwe mwembamba sana
[emoji654] umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo

KARIBUNI pm
 
Mimi natokea CHATO, halafu nina kipara na 50 ninayo, hapo ninakidhi?
 
Cc d
 
Huu sasa ni Ubaguzi, kwa nini Arusha wakati hata huku vijijini kuna mianaume shababi wapiga Jembe hatari ambapo hutakuwa na wasiwasi wa kufa na njaa.
Tupe dili bibie tukupatie mbegu makini na yenye afya ya akili na mwili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…