Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Kama unaona huwezi kuniachia mwanao basi post hii si kwajil yako mi nataka ambae atakua tayari kuniacha mimi na mtoto tuendelee na maisha yetu
Wapo wakutumdika mimba na mkataba unaishia hapo sawa . Ila na wewe usizae ukizaa mkataba mwingine huo
 
Papuchi ya bure hii uko wapi njoo nikupe tikitaka za mesi ila uwe mzuri
 
serious ?
 
nahisi huyu nae alikuwa Kwa makonda pia anataka ela ya matumizi wakati alitaka mwenyewe
 
Mimi nipo Mwanza nitumie nauli nianze safari ?
 
huku jf wapo wapenda papuchi tu wanaume wa kupanga mambo sirias ni wachache kuwa makini
Mimi mbona nipo serious ? Tatizo ww ulijimix ukanandiwa na vibaka.Kipindi nakusakua pm ulikuwa na nyodo mno sasa marinda chali
 
Kama bado ujapata ni pm mwanaume rijali nipo apa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…